By Admin New Monday, 16th June 2025
ICT-MUHULA WA SEPTEMBER
🏫 Karibu Institute of Heavy Equipment and Technology (IHET) – Science Kijitonyama
Tunapenda kuwakaribisha wanafunzi wapya kujiunga na kozi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) kwa ngazi zifuatazo:
📘 Kozi Zinazotolewa:
-
NTA Level 4 – Cheti cha Awali (Basic Technician Certificate in ICT)
-
NTA Level 5 & 6 – Diploma ya Kati na ya Juu (Ordinary Diploma in ICT)
🎉 OFAY A SPESHO! - Punguzo la 20% kwa Ada
Jiunge sasa na upate punguzo la asilimia 20 (20%) kwa wanafunzi wapya wa mwaka huu wa masomo!
🌟 Fursa hii ni kwa muda mfupi tu – Usikose!
🎯 Kwa Nini Uchague IHET?
-
Mafunzo ya nadharia na vitendo yanayoendana na mahitaji ya soko
-
Walimu wenye ujuzi na uzoefu mkubwa
-
Miundombinu ya kisasa kwa mafunzo ya TEHAMA
-
Mazingira salama na rafiki kwa wanafunzi
📝 Jinsi ya Kujiunga:
Tuma maombi yako leo na uanze safari yako ya kuwa mtaalamu wa ICT!
📍 Mahali:
Science Kijitonyama, Dar es Salaam
📞 Wasiliana Nasi:
Simu: 0754 300 200
IHET – Kukuandaa kwa Ajira na Kujiajiri katika Dunia ya Kidijitali.
#PunguzoLaAda #JifunzeICT #IHET #KaribuChuoni
Tags
Previous Posts
Related Post
By Admin New
ICT-MUHULA WA SEPTEMBER
🏫 Karibu Institute of Heavy Equipment and Technology (IHET) – Science Kijitonyama
Read More
By Admin New
🚜 Karibu Muhula wa 76 ya Uendeshaji wa Mitambo Mi...
🚜 Karibu Katika Kozi Yetu ya 76 ya Uendeshaji wa Mitambo Mizito – K...