MUHULA MPYA WA MASOMO | JUNE 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi June, 2022 yataanza tarehe 6/6/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Mafunzo yanafanyika kwa kutumia mitambo ya kisasa ya kufundishia (Simulators) pamoja na mazoezi (practical) kwenye fani husika. Mwanafunzi wa Hydraulic Excavator ORead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | MACHI 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Machi, 2022 yataanza tarehe 7/3/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, maomRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | FEBRUARI 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Februari, 2021 yataanza tarehe 7/2/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, mRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | DISEMBA 2021

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Disemba, 2021 yataanza tarehe 6/12/2021 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, mRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | NOVEMBA 2021

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Novemba, 2021 yataanza tarehe 8/11/2021 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, maombi yanapokelewa cRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | AUGUST 2021

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi August na September, 2021 yataanza tarehe 30/8/2021 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET KIJITONYAMA DSM. Kwa waombaji wa Dar es SaRead More…

SEPTEMBER OFFER | WHEEL LOADER AND FORKLIFT

Kutakuwa na offer kwa kozi za uendeshaji wa mitambo kwa mwezi wa tisa (9), 2021 katika kozi zifuatazo:- i. Uendeshaji wa mtambo aina ya Wheel loader. ii. Uendeshaji wa mtambo aina ya Forklift. Kozi hizi zote zitatolewa katika mwezi wa tisa na zitachukua muda wa mwezi mmoja kukamilika. KUMBUKA: Offer hii itawahusu wale wote ambao walishawai kusoma kozi ya uendeshaji Mtambo katika vRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | JUNE 2021 DSM & DODOMA CENTER

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi June, 2021 yataanza tarehe 1/6/2021 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET KIJITONYAMA DSM, Pia kuna ufadhili wa masomo kwa wanafunzi watakaRead More…