TANGAZO LA KAZI | OFFICE SECRETARY

Mkuu wa chuo cha mitambo na Teknolojia (IHET), anayofuraha kutangaza nafasi ya ajira moja (1) ya Secretary (Katibu).

Kituo cha kazi: IHET Kijitonyama, DSM.

Sifa za waombaji:

  1. Awe msichana umri kuanzia miaka 18 hadi 28.
  2. Mwenye uwezo mzuri wa kutumia Kompyuta na programu zake kama MS office Excel, MS Office Word na Email.
  3. Anayeweza kuzungumza na kuandika vizuri lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
  4. Awe na elimu ya Cheti au Diploma kwenye fani ya secretary au fani zingine.

Maombi yatumwe kwa mkuu wa chuo, chuo cha mitambo na teknolojia (IHET) kupitia barua pepe admin@ihet.ac.tz

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 2/11/2021 saa nane kamili mchana.