MAFUNZO YA HARBOUR CRANE KWA MUHULA WA KWANZA 2020
Mkuu wa chuo cha mitambo (Institute of Heavy Equipment and Technology – IHET) kwa kushirikiana na chuo cha EKAMI cha nchini FINLAND anapenda kuwatangazia mafunzo ya muhula mpya wa masomo mwaka 2020, ambayo yatafanyika kuanzia tarehe 9/3/2020 kwa utaratibu ufuatao; Ada ya mafunzo ni shilingi milioni mbili na laki mbili (2,200,000/=) Mwombaji atatakiwa kulipa kiasi kisichopungua shiRead More…