MAFUNZO YA HARBOUR CRANE KWA MUHULA WA KWANZA 2020

Mkuu wa chuo cha mitambo (Institute of Heavy Equipment and Technology – IHET) kwa kushirikiana na chuo cha EKAMI cha nchini FINLAND anapenda kuwatangazia mafunzo ya muhula mpya wa masomo mwaka 2020, ambayo yatafanyika kuanzia tarehe 9/3/2020 kwa utaratibu ufuatao; Ada ya mafunzo ni shilingi milioni mbili na laki mbili (2,200,000/=) Mwombaji atatakiwa kulipa kiasi kisichopungua shiRead More…

TANGAZO | SPECIAL TRAINING COURSE FOR CRANE OPERATOR

Mkuu wa chuo cha Mitambo na TeknoloJia (Institute of Heavy Equipment and Technology – IHET) kilichopo Kijitonyama Dar es Salaam. Anapenda kuwatangazia wote kuwa kutakua na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo ya kunyanyua vitu (Crane Operator Training Course). Mafunzo yatakayotolewa ni pamoja na Refresher training kwa wanaotoka kazini na wenye uzoefu wa mashine. Mafunzo yataanza tarehe 21/10/2019Read More…