TANGAZO LA KAZI YA UALIMU WA MAGARI MADOGO
TANGAZO LA KAZI YA UALIMU WA MAGARI MADOGO Read More…
TANGAZO LA KAZI YA UALIMU WA MAGARI MADOGO Read More…
PAKUA FORM YA KUJIUNGA Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya wa masomo katika ngazi ya certificate na diploma tunaanza kupokea wanafunzi kuanzia machi 01, 2023 Pia IHET inatoa punguzo la asilimia 20% katika ada kwa wataochaguliwa kujiunga katika ngazi hizi Hostel/ Mabweni yapo Kwa watakao hitaji. BONYEZA HAPA KUPATA FORM PIA IHET INATOA KOZIRead More…
Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi wa tatu Machi 01 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Mafunzo yanafanyika kwa kutumia mitambo ya kisasa ya kufundishia (Simulators) pamoja na mazoezi (practical) kwenye fani husika. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombiRead More…
Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Septemba, 2022 yataanza tarehe 5/9/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Mafunzo yanafanyika kwa kutumia mitambo ya kisasa ya kufundishia (Simulators) pamoja na mazoezi (practical) kwenye fani husika. Kwa waombaji wa Dodoma,&nRead More…
Mkuu wa chuo cha Mitambo na Tekinolojia (IHET) Dar es Salaam, anapenda kutangaza nafasi ya kazi FRONT OFFICE nafasi moja. VIGEZO: Muombaji awe Mtanzania mwenye umri usiozidi miaka 30.Awe na sifa/elimu ya Cheti au Diploma kutoka chuo kinachotambulika. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili.Awe anajua kutumia Kompyuta; Programu kama MS. WORD, MS. EXCERead More…
RESULTS 1ST TERM LONG COURSE – LEVEL I 2022 S/NREG. NOAVERAGEGRADEREMARK1IHET/LC/HDM/22/06457.6DPOOR2IHET/LC/HDM/22/06567.3CGOOD3IHET/LC/HDM/22/0665.2FVERRY POOR4IHET/LC/HDM/22/06745.6DPOOR5IHET/LC/HDM/22/06849.1DPOOR6IHET/LC/HDM/22/06961.8CGOOD7IHET/LC/HDM/22/0702.5FVERRY POOR8IHET/LC/HDM/22/07265.3CGOOD9IHET/LC/HDM/22/07377.7BVERRY GOOD10IHET/LC/HDM/22/07457.2DPOOR11IHET/LC/HDM/22/07553.4DPORead More…
Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi August, 2022 yataanza tarehe 1/8/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Mafunzo yanafanyika kwa kutumia mitambo ya kisasa ya kufundishia (Simulators) pamoja na mazoezi (practical) kwenye fani husika. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWARead More…
Tangazo la Ajira.Wanahitajika maopareta wa mitambo (Motor grader operators) wenye sifa na uzoefu wa kuopareti motor grader, zoefu usiopungua miaka miwili. Usaili utafanyika siku ya Jumatano tarehe 27/7/2022.Muda: Saa mbili asubuhi.Mahali: Chuo cha mitambo IHET KijitonyamaKituo cha kazi: Mradi wa bwawa la umeme Rufiji. Waombaji wote wenye sifa wafike kwenye usaili wakiwa na vyeti vyao vya maRead More…
Tangazo la kazi.Wanahitajika Mafundi na maopareta wa mitambo wenye sifa na uzoefu katika fani husika kama ifuatavyo:- Heavy Duty Construction Equipment Operator – Concrete Pump – Nafasi 3.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Crane – Nafasi 1.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Dozer – Nafasi 5.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Driller – Nafasi 2.Heavy Duty ConstructRead More…
Karibu kwenye banda letu la maonesho ya 46 ya biashara SABASABA 2022. Tupo jengo la Jakaya Kikwete chumba namba 36. Utaweza kufahamu kuhusu IHET na huduma zote tunazotoa. Tanzania ni sehemu sahihi kwa biashara na uwekezaji | SABASABA 2022 Read More…