Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi October, 2021 yataanza tarehe 4/10/2021 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani.
Kwa waombaji wa Dodoma, maombi yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma na IHET KIJITONYAMA DSM. Kwa waombaji wa Dar es Salaam, maombi yanapolewa chuoni Kijitonyama kwa fani zote za ufundi wa mitambo, uendeshaji wa mitambo, udereva wa magari na kompyuta. Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754300200 au 0748221919 na 0747175175 kwa waombaji wa Dodoma.