May 2018 intake

Tunapenda kuwatangazia kua muhula mpya wa masomo mwezi wa tano utaanza tarehe 14/5/2018. Tunawakaribisha wote wanaotaka kujifunza kozi za mitambo ya ujenzi wa barabara na migodini. Fika chuoni Kijitonyama au pakua fomu ya kujiunga au piga simu namba 0654389169 au 0655435103.Read More…

Muhula mpya wa masomo April 2018

Tunapenda kuwatangazia kua muhula mpya wa masomo mwezi wa nne umeanza. Tunawakaribisha wote wanaotaka kujifunza kozi za mitambo ya ujenzi wa barabara na migodini. Fika chuoni Kijitonyama au pakua fomu ya kujiunga katika tovuti yetu www.ihet.ac.tz au piga simu namba 0654389169 au 0655435103.Read More…

TANGAZO: Usajiri wa wanafunzi

INSTITUTE OF HEAVY EQUIPMENT AND TECHNOLOGY Jifunze kuendesha mitambo ya ujenzi wa barabara na migodini kama Motor Grader, Roller, Bulldozer, Hydraulic Excavator, Wheel Loader, Dump Truck, Forklift and Telehandlers (Man cage). Pia utapata mafunzo ya ufundi wa magari makubwa na madogo (Motor Vehicle Mechanics, Truck Mechanics & Plant Mechanics) na umeme wa magari (Auto Electric) pamoja na ufunRead More…