MUHULA MPYA WA MASOMO NGAZI YA CERTIFICATE NA DIPLOMA YA ICT | MACHI 2023

PAKUA FORM YA KUJIUNGA Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya wa masomo katika ngazi ya certificate na diploma tunaanza kupokea wanafunzi kuanzia machi 01, 2023 Pia IHET inatoa punguzo la asilimia 20% katika ada kwa wataochaguliwa kujiunga katika ngazi hizi Hostel/ Mabweni yapo Kwa watakao hitaji. BONYEZA HAPA KUPATA FORM PIA IHET INATOA KOZIRead More…

TANGAZO LA KAZI | FRONT OFFICE – NAFASI MOJA

Mkuu wa chuo cha Mitambo na Tekinolojia (IHET) Dar es Salaam, anapenda kutangaza nafasi ya kazi FRONT OFFICE nafasi moja. VIGEZO: Muombaji awe Mtanzania mwenye umri usiozidi miaka 30.Awe na sifa/elimu ya Cheti au Diploma kutoka chuo kinachotambulika. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili.Awe anajua kutumia Kompyuta; Programu kama MS. WORD, MS. EXCERead More…

TANGAZO LA KAZI | OPARETA WA MITAMBO, ELECTRICAL, MECHANICAL, WELDING AND RIGGING TECHNICIAN – 76 POST

Tangazo la kazi.Wanahitajika Mafundi na maopareta wa mitambo wenye sifa na uzoefu katika fani husika kama ifuatavyo:- Heavy Duty Construction Equipment Operator – Concrete Pump – Nafasi 3.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Crane – Nafasi 1.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Dozer – Nafasi 5.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Driller – Nafasi 2.Heavy Duty ConstructRead More…

COMPUTER COURSE | JUNE 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo ya kozi za Computer (Computer courses) yataanza mapema mwezi June, 2022. Introduction to computer.Basic computer Application.Graphics Design.Website Design.Computer Programing.Computer Maintenance and Repair. Computer courses | June 2022 Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754300200 au 0748221919 au 0719348778 au 07Read More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | JUNE 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi June, 2022 yataanza tarehe 6/6/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Mafunzo yanafanyika kwa kutumia mitambo ya kisasa ya kufundishia (Simulators) pamoja na mazoezi (practical) kwenye fani husika. Mwanafunzi wa Hydraulic Excavator ORead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | MACHI 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Machi, 2022 yataanza tarehe 7/3/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, maomRead More…

TANGAZO LA KAZI | TRAINERS – MOBILE CRANE, AUTO ELECTRIC NA HEAVY DUTY MECHANICS

Mkuu wa chuo cha mitambo na Teknolojia (IHET), anayofuraha kutangaza nafasi ya ajira tatu (3), 1. Mobile crane trainer. 2. Auto Electric Trainer 3. Heavy duty mechanics Trainer Kituo cha kazi: IHET Kijitonyama, DSM. Sifa za waombaji: Awe na elimu ya Cheti au Diploma kwenye fani husika (Mobile crane, Auto Electric, Heavy duty mechanics ).Awe na uzoefu usiopungua miaka mitano (5).MobiRead More…

MUHULA MPYA WA MASOMO | FEBRUARI 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa muhula mpya mwezi Februari, 2021 yataanza tarehe 7/2/2022 kwa waombaji wa fani za uendeshaji wa mitambo itumikayo kwenye ujenzi wa barabara, migodini na viwandani. Kwa waombaji wa Dodoma, na MWANZA maombi  yanapokelewa chuoni IHET Nala Dodoma  na IHET Ilemela Mwanza . Kwa waombaji wa Dar es Salaam, mRead More…

AWAMU YA PILI | WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI (FANI MBALIMBALI) KWA MWAKA WA MASOMO 2022

Na.JINAKOZIANWANI1ALLY JUMAHEAVY DUTY MECHANICSDAR ES SALAAM2JOSEPH PATRICKHEAVY DUTY MECHANICS MPANDA3ABDALA NASSORO HEAVY DUTY MECHANICS TABORA4AHMEDI YUSUPH HEAVY DUTY MECHANICS KASURU KIGOMA5ISACK KULASAUKWA HEAVY DUTY MECHANICS DAR ES SALAAM6REMMY ELES HEAVY DUTY MECHANICS KIGOMA7GEORGE SAMWELI HEAVY DUTY MECHANICS DAR ES SALAAM8SAM SOKOLO KASEKO HEAVY DUTY MECHANICS DODOMA9GOVINDA JUNIOR MARead More…

MWAKA WA MASOMO 2022 | LONG COURSE 2022

Mkuu wa chuo cha mitambo (IHET) anapenda kuwatangazia kuwa masomo kwa mwaka mpya wa masomo 2022, yataanza tarehe 17/1/2022 kwa waombaji wa fani za:- Ufundi wa mitambo Ufundi wa magari makubwa na madogoUchomeleaji na Umeme wa magari. Maombi ya kujiunga na masomo ya ufundi ya muda mrefu (Long Course 2022) yanapokelewa chuoni IHET Kijitonyama Dar es Salaam, IHET Nala Dodoma, na Ilemela MWANRead More…