TANGAZO LA KAZI | FRONT OFFICE – NAFASI MOJA

Mkuu wa chuo cha Mitambo na Tekinolojia (IHET) Dar es Salaam, anapenda kutangaza nafasi ya kazi FRONT OFFICE nafasi moja. VIGEZO: Muombaji awe Mtanzania mwenye umri usiozidi miaka 30.Awe na sifa/elimu ya Cheti au Diploma kutoka chuo kinachotambulika. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili.Awe anajua kutumia Kompyuta; Programu kama MS. WORD, MS. EXCERead More…

TANGAZO LA AJIRA | MOTOR GRADER OPERATOR – 12 POST

Tangazo la Ajira.Wanahitajika maopareta wa mitambo (Motor grader operators) wenye sifa na uzoefu wa kuopareti motor grader, zoefu usiopungua miaka miwili. Usaili utafanyika siku ya Jumatano tarehe 27/7/2022.Muda: Saa mbili asubuhi.Mahali: Chuo cha mitambo IHET KijitonyamaKituo cha kazi: Mradi wa bwawa la umeme Rufiji. Waombaji wote wenye sifa wafike kwenye usaili wakiwa na vyeti vyao vya maRead More…

TANGAZO LA KAZI | OPARETA WA MITAMBO, ELECTRICAL, MECHANICAL, WELDING AND RIGGING TECHNICIAN – 76 POST

Tangazo la kazi.Wanahitajika Mafundi na maopareta wa mitambo wenye sifa na uzoefu katika fani husika kama ifuatavyo:- Heavy Duty Construction Equipment Operator – Concrete Pump – Nafasi 3.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Crane – Nafasi 1.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Dozer – Nafasi 5.Heavy Duty Construction Equipment Operator – Driller – Nafasi 2.Heavy Duty ConstructRead More…